Logo
Chapisha ukurasa huu

بسم الله الرحمن الرحيم

Al-Waqiyah TV:

Ujumbe wa Haraka "إِلَّا تَنفِرُوا يُعَذِّبْكُمْ عَذَابًا أَلِيمًا وَيَسْتَبْدِلْ قَوْمًا غَيْرَكُمْ"

“Kama hamwendi atakuadhibuni adhabu chungu, na atawaleta watu wengine.” [Al-Tawba: 39]

Kwa kuwaombea nusra Waislamu kupitia kuangushwa viti vya watawala wasaliti na kusonga kwa majeshi ili kuukomboa Msikiti uliobarikiwa wa Al-Aqsa na Palestina yote inayokaliwa kimabavu kuanzia mto wake hadi bahari yake kutokana na makucha ya Mayahudi wahalifu.

Imetayarishwa na kuwasilishwa na Ustadh Muhammad Munees / Wilayah Kuwait

Ijumaa, 12 Rabi' Al-Akhir 1445 H sawia na 27 Oktoba 2023 M

Kwa mengi zaidi Bonyeza Hapa

Template Design © Joomla Templates | GavickPro. All rights reserved.