Logo
Chapisha ukurasa huu

بسم الله الرحمن الرحيم

 Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia: Kalima ya Msikiti Kuhusu Mipangalio ya Wizara ya Masuala ya Kidini nchini Tunisia!

Kalima ya Ustadh Tariq Raafi' mwanachama wa Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia mbele ya Msikiti wa Swahaba Mtukufu Abu Lababah al-Answari Kuhusu Mipangalio ya Wizara ya Masuala ya Kidini nchini Tunisia iliyo lazimishwa juu ya Nyumba za Mwenyezi Mungu ambapo alielezea kuwa Swala ya Jamaa ni miongoni mwa nembo zilizo fungwa kisheria zisizo badilika.

Jumamosi, 14 Shawwal 1441 H sawia na 05 Juni 2020 M

 

 

 

Imebadilishwa mara ya mwisho mnamoAlhamisi, 11 Juni 2020 06:20
Template Design © Joomla Templates | GavickPro. All rights reserved.