Mwaliko wa Washington kwa Waziri Mkuu wa Iraq ... Maagizo Badala ya Mazungumzo
- Imepeperushwa katika Iraq
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Rais wa Marekani, Joe Biden, alitoa mwaliko kwa Waziri Mkuu wa Iraq, Mohammed Shia al-Sudani, Kuzuru Washington. Mwaliko huo ulikubaliwa, na alingoza ujumbe uliokutana na maafisa kadhaa mnamo Jumatatu, Aprili 15, 2024, akiwemo Rais Joe Biden na Waziri wa Ulinzi Lloyd Austin.