Huku kukiwa na Maandamano, Makongamano, na Kauli Mbiu Tupu, Palestina ingali Inakaliwa Kimabavu hadi Itakapokombolewa!
- Imepeperushwa katika Yemen
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Sana'a na idadi kubwa ya miji nchini Yemen ilishuhudia maandamano makubwa mnamo Ijumaa, 26 ya Ramadhan, 1445 H, sawia na Aprili 6, 2024, kwa mnasaba wa ya Siku ya Kimataifa ya Al-Quds.