Jumanne, 28 Shawwal 1445 | 2024/05/07
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Waacheni Huru Watetezi wa Khilafah: Haki inadai Kuachiliwa Huru Mara Moja kwa Wale Wanaolingania Khilafah kwa Njia ya Utume.

Mnamo tarehe 24 Disemba 2016, Jaji Mkuu Mteule wa Mahakama ya Upeo, Mian Saqib Nisar, alisema, “Ninaahidi hakutakuwa na shinikizo kwa idara ya mahakama na hakuna anayeweza kuthubutu kuhoji uwazi wetu. Siwezi kuutoa muhanga uhai wangu kesho Akhera kwa manufaa yoyote ya kidunia.” Hakika hakimu aliyeongoka ni yule anayehukumu kwa Uislamu ili apate Jannah. Na ole wake yule anayehukumu kwa yasiokuwa Uislamu!

Soma zaidi...

Naveed Butt Alitekwa Nyara baada ya Kuwafichua Wasaliti katika Uongozi wa Jeshi Juu ya Shambulizi la Amerika la Abbotabad

Mnamo tarehe 27 Aprili 2016, dondoo za kitabu kimoja cha mwandishi wa habari maarufu wa Marekani, Seymour Hersh, zilichapishwa katika gazeti la Kiingereza la Dawn, ambamo alisema kwamba amekinai sana zaidi kuliko hapo awali kwamba Pakistan iliisaidia Marekani kumpata Osama.

Soma zaidi...

Mwacheni Huru Naveed Butt Huku akiwa Dhaifu mbele ya Shinikizo Kubwa la Kuachiliwa Huru kwa Naveed Butt, Serikali "Mtekaji nyara" Inageukia Urongo Duni.

Miezi minane baada ya kesi kusikilizwa kwa mara ya mwisho, usikilizaji katika kikao cha Tume ya Uchunguzi juu ya Kupotezwa kwa Nguvu ulifanyika jana, 26 Mei 2015, kuhusu kutekwa nyara kwa Msemaji Rasmi wa Hizb ut Tahrir nchini Pakistan, Naveed Butt, ambaye alitekwa nyara na majambazi wa taasisi mnamo tarehe 11 Mei 2012.

Soma zaidi...

Kampeni Mwacheni Huru Naveed Butt Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan Yatoa Makala ya Naveed Butt: "Jinsi Amerika Ilivyofanikiwa Kuwasha Moto katika Pembe Tofauti Tofauti za Pakistan"

Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan imetoa makala yaliyoandikwa na msemaji wake nchini Pakistan, Naveed Butt, yenye kichwa, "Jinsi Amerika Ilivyofanikiwa Kuwasha Moto Katika Pembe Tofauti Tofauti za Pakistan".

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu