Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan: Amali za Kuhuisha Ibada…
Jumatano, 17 Dhu al-Hijjah 1447 - 03 Juni 2026
Katika kuhuisha ibada za Dhul-Hijjah na kwa heshima ya Sunnah tukufu ya Mtume, Hizb ut Tahrir/Wilayah Sudan iliandaa maandamano ya takbira na tahlil mnamo Jumatatu, ya kwanza ya Dhul-Hijjah 1447 H. Maandamano yalianza kwenye lango la afisi ya hizb mjini Port Sudan, yakipita kwenye njia kuu, na kufikia Soko Kuu, ambapo yalifikia kilele chake katika ua wa Hoteli ya Al-Haramain, mahali pa mikutano ya kisiasa ya mji huo. Wakati wa maandamano hayo, umati mkubwa wa watu ulijiunga, wakipiga takbira na tahlil pamoja na ndugu zao, wakionyesha furaha yao kwa amali ya hizb na kusifu amali hii ya kipekee nchini, kwa...
Makala Mbalimbali kutoka Gazeti la Ar-Rayah Toleo la 601
Hakika, sisi katika familia ya Gazeti la Ar-Rayah tunatoa pongezi zetu za dhati kwa Ummah…
Jarida la Al-Waie: Vichwa Vikuu vya Habari vya Toleo (479)
Jarida la Al-Waie: Vichwa Vikuu vya Habari vya Toleo (479)
“Imekwisha fichuka chuki yao katika midomo yao. Na yanayo ficha…
Chansela wa Ujerumani Friedrich Merz alitangaza mnamo Ijumaa kupinga kwake Muungano wa Ulaya kuweka vikwazo…
Je, Erdogan Anasubiri Mayahudi Waipige Mabomu Ankara Kabla ya Kuhamasisha…
Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdoğan, katika hotuba aliyotoa wakati wa mkutano wa kundi la…
Moto Mijini: Jinsi Ubepari Unavyowasha Moto katika Miji ya Waislamu…
Mnamo Jumatatu, tarehe 1 Juni 2026, vyombo vya habari viliripoti kuhusu moto mkubwa ulioharibu eneo…




