Hizb ut Tahrir / Wilayah ya Tunisia Inatangaza Uzinduzi wa Kampeni: Na nani aliye mbora zaidi katika kuhukumu kuliko Mwenyezi Mungu
- Imepeperushwa katika Tunisia
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Tunisia hivi sasa imo katika kipindi kigumu baada ya wale tuliowafikiria kuwa ni watawala kuyatelekeza majukumu yao msingi na kuziwachia dola za msalaba za kikoloni na wafanyikazi wake ndani ya Umoja wa Ulaya na Shirika la Fedha la Kimataifa kuamua sera za kiuchumi, kifedha na kijamii mpaka nchi ikadhibiti usambaratikaji wa kiuchumi licha ya kwamba kulikuwa na madeni makubwa.