Jumamosi, 10 Dhu al-Qi'dah 1445 | 2024/05/18
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan: Suluhisho la Tatizo la Umeme wa Bei Ghali ni Kuitangaza Sekta Hii kuwa Chini ya Umiliki wa Umma!

Licha ya kuongezeka kwa ushuru mara kwa mara, deni la mzunguko la sekta ya umeme linaongezeka, huku serikali pia inachukua hatua za kuregesha malipo ya umeme kupitia malipo ya kudumu katika bili. Mfumo wa kibepari haulindi maslahi ya watu bali maslahi ya mabepari wachache.

Soma zaidi...

Al-Waqiyah TV: Kampeni “Inatosha Miaka 100 ya Unyonge!”

Katika mwezi wa Rajab Tukufu mwaka huu, 1445 H - 2024 M, inarudi kwetu kumbukumbu ya uchungu ya miaka 103 H na 100 M ya kuvunjwa kwa dola ya Kiislamu na wahalifu wa Kiarabu na Kituruki, ambayo iliasisiwa na Bwana wa Mitume Muhammad (saw), na maswahaba zake watukufu (ra), na kuondolewa kwa mfumo wa utawala wa Kiislamu (Khilafah) mnamo tarehe 28 Rajab Tukufu mwaka 1342 H, sawia na 03/03/1924 M, na ardhi iliyobarikiwa (Palestina) ilipotea kwa kupotea Imam ambaye ni ngao, Khalifa wa Waislamu ambaye kwaye wanapigana nyuma yake na kujihami..

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu