Hizb ut Tahrir / Wilayah Uturuki Semina katika Mji wa Hatay iliolenga Kutafuta Suluhisho la Kiislamu la Mgogoro wa Kiuchumi
- Imepeperushwa katika Uturuki
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Ndani ya mwendelezo wa mfululizo wa makongamano na semina zilizoandaliwa na Hizb ut Tahrir / Wilayah Uturuki chini ya kichwa "Suluhisho la Kiislamu kwa Mgogoro wa Kiuchumi", wawakilishi wa vyama vya kisiasa, mashirika yasiyo ya kiserikali, wawakilishi wa vyombo vya habari vya ndani na walezi walikusanyika mjini Hatay (Antakya).