Wilayah Uturuki: Kongamano la Al-Qudsi la Kiulimwengu 1442 H – 2021 M
- Imepeperushwa katika Uturuki
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Chini ya hali ya wasiwasi katika Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina) ya mashambulizi ya mara kwa mara yanayofanywa na umbile la Kiyahudi kwenye Msikiti uliobarikiwa wa Al-Aqsa na kuzingirwa kwake na mabomu ambayo yameendelea kwa miaka 15 kwenye Ukanda wa Gaza,