Jumamosi, 10 Dhu al-Qi'dah 1445 | 2024/05/18
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

بسم الله الرحمن الرحيم

 Hizb ut Tahrir / Wilayah Uturuki:

Kisimamo katika mji wa Ankara cha Kuwanusuru Watu wa Jenin!

Hizb ut Tahrir / Wilayah Uturuki iliandaa kisimamo katika mji wa Ankara, baada ya Swala ya Ijumaa katika Msikiti wa Haji Bayram katika eneo la Ulus, cha kuwanusuru ndugu zetu Waislamu katika mji wa Jenin al-Qassam, ambapo umbile nyakuzi la Kiyahudi lilipenya na zana zake zote za kijeshi na Mujahidina wanyoofu miongoni mwa watoto wa Waislamu wakakabiliana nalo kwa vifaa vyepesi ili kuzuia uadui wake wa kikatili, hivyo wakauawa kishahidi na kujeruhiwa miongoni mwao kwa makumi. Wakati wa kisimamo hicho, Ustadh Abdullah Imamoglu alisoma taarifa kwa vyombo vya habari yenye kichwa "Damu ya Waislamu inayotiririka huko Jenin, ole wao watawala wanao halalisha mahusiano nalo!"

Kwa maelezo zaidi Bonyeza Hapa

Ijumaa, 19 Dhu al-Hijjah 1444 H – 07 Julai 2023 M

Kwa Maelezo Zaidi Zuru Mitandao ya Hizb ut Tahrir / Wilayah Uturuki:

Tovuti Rasmi ya Hizb ut Tahrir / Wilayah Uturuki

Ukurasa wa Facebook wa Hizb ut Tahrir / Wilayah Uturuki

Ukurasa wa Twitter wa Hizb ut Tahrir / Wilayah Uturuki

Akaunti ya Instagram ya Hizb ut Tahrir / Wilayah Uturuki

Chaneli ya YouTube ya Hizb ut Tahrir / Wilayah Uturuki

Tovuti ya Jarida la Kokludegisim

Andika maoni

Hakikisha umejaza (*) habari zinazohitajika palipoashiriwa. Kodi za HTML haziruhusiwi.

rudi juu

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu