Jumanne, 28 Shawwal 1445 | 2024/05/07
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Zogo la Matokeo ya Mtihani wa Kitaifa wa Shule za Upili (KCSE) wa Mwaka 2017 linafichua Kufeli kwa Sera ya Elimu ya Kikoloni ya Kirasilimali

Baada ya kutangazwa matokeo ya mtihani wa KCSE mnamo Disemba 2017, vyombo vya habari nchini Kenya vimeangazia sura tatanishi ya shule, wazazi, wanafunzi na vyama vya wafanyikazi wa sekta ya elimu ambayo mwanzoni katika miaka ya 2015 na kwenda chini ili kuwa ni sura ya bashasha. 

Soma zaidi...

Uingereza Yaishinda Ujanja Amerika kwa Mara Nyengine Tena kwa Kuthibitisha Mamlaka yake Barani Afrika

Ukoloni mkongwe wa kinyang'anyiro cha Bara la Afrika umepita mipaka baina ya Amerika inayo lingania kukumbatiwa kwa demokrasia na vyama vingi na upande wa pili Uingereza bwana mkoloni mkuu anayelingania kudumishwa kwa hali halisi kwa kufanya mabadiliko machache ya kisanii kuhadaa watu walio na kiu ya mabadiliko ya kihakika.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu