Jumapili, 11 Dhu al-Qi'dah 1445 | 2024/05/19
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Kuongeza Idadi ya Nafasi zaidi Kwa Wanawake Bungeni na Serikalini Kattu Hakutookoa Mwanamke wa Kawaida Kwenye Makucha ya Ubepari

Bunge la Kenya kwa sasa limo kwenye mchakato wa kujadili kupitishwa kwa mswada wa Kijinsia 2018 unaopendekeza marekebisho ya vifungu vya katiba vya 90, 97 na 98, ili kuafikia utekelezwaji wa kanuni ya Kijinsia ya thuluthi mbili katika Bunge la Kitaifa.

Soma zaidi...

“Watoto kwa Pesa” ni Mfano Mwengine wa Faida za Kirasilimali Zinazothaminiwa Kuliko Maadili ya Kiutu

Mnamo 8 Julai gazeti la New York Times liliripoti juu ya mpango mpya zaidi wa kibiashara wa Raisi wa Amerika uliolenga kuyawekea kizuizi maazimio ya Umoja wa Mataifa ya kusaidia unyonyeshaji wa maziwa ya mama katika ngazi ya kimataifa, akiyataja kuwa mbinu bora zaidi ya kukuza afya ya watoto wachanga.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu