Jumatano, 22 Shawwal 1445 | 2024/05/01
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Jibu la Swali: Kuwapa Hongera Wakristo na Makafiri Kwenye Sikukuu Zao

Swali langu ni kuhusu kuwapa hongera Wakristo kwa sherehe zao na kushiriki nao, na kilichonisukuma kuuliza swali hili ni jibu la swali la Sheikh Taqiuddin al-Nabhani, Mwenyezi Mungu amrehemu, kuliruhusu hilo, hivyo nataraji kutoka kwenu ufafanuzi wa jambo hili. Pamoja nalo ni jibu la swali la Sheikh Taqi.

Soma zaidi...

Falsafa ya Kiislamu

Katika Kitabu cha Mafahim ya Hizb ut Tahrir uk.35 (nakala ya Kiarabu) (uk 29-30 nakala ya Kiingereza), mstari wa 7 na 9, kimetaja “Falsafa ya Kiislamu”, lakini kinachojulikana kwetu katika chama ni kwamba hakuna wanafalsafa wala falsafa katika Uislamu.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu