Jumapili, 11 Dhu al-Qi'dah 1445 | 2024/05/19
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Uhalisia wa Yaliyotokea na Yanayotokea Aden!

Ni yapi yaliyotokea na yanayotokea mjini Aden? Ni vipi kunakuwepo vita baina ya Baraza la Al-Zubaidi na serikali ya Hadi, ijapo kuwa Al-Zubaidi alikuwa ni gavana wa Aden aliye teuliwa na Hadi, na baada ya kutimuliwa, alibakia mjini Aden pasi na serikali ya Hadi kuchukua hatua yoyote dhidi yake, bali alikuwa akiyakusanya majeshi yake mbele ya macho na masikio serikali hiyo?!

Soma zaidi...

Uhakika wa Maandamano Nchini Sudan

Maandamano yaliyozuka kwa zaidi ya miezi miwili yangali yanaendelea mpaka leo. Je, yamechochewa na hali mbaya za kiuchumu? Au sababu ya maandamano hayo nchini Sudan ni taharuki katika mahusiano kati ya Khartoum na Washington baada ya ziara ya Naibu Waziri wa Kigeni wa Amerika, John Sullivan, jijini Khartoum mnamo Novemba 2017?

Soma zaidi...

Ukweli wa Kura ya Maamuzi ya Mradi wa Kujitoa kwa Uingereza (Katika Muungano wa Ulaya)!

Bunge la Uingereza mnamo 16/1/2019 liliupigia kura mswada wa kutokuwa na imani na serikali ya May, lakini yeye akashinda: (Waziri Mkuu wa Uingereza Theresa May aliponea kushindwa mnamo Jumatano katika bunge la House of Commons kufuatia mswada wa kutokuwa na imani na serikali yake uliowasilishwa na chama cha upinzani cha Labour.

Soma zaidi...

Mapya Yanayojiri Katika Uwanja wa Syria Kuanzia Tangazo la Erdogan la Mpango Wake wa Kushambulia Mashariki mwa Furat Hadi Tangazo la Trump la Kuviondoa Vikosi Vyake Kutoka Syria!

Taarifa za Erdogan kuhusu shambulizi juu ya mashariki ya Furat, kisha kuakhirisha shambulizi hilo, kisha kutangaza upya shambulizi hilo, nk., na kisha kukimbilia kwa Urusi kupangilia operesheni hizo, baada ya ombi la Wakurdi la kulindwa kutokana na serikali ya Syria kufanyika.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu