Jumanne, 21 Shawwal 1445 | 2024/04/30
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Mahakama Kuu ya Kisekula ya Karnataka Inasubutuje kutoa "Fatwa" kuhusiana na kile ambacho Mwenyezi Mungu (swt) Amewafaradhisha Waislamu! Enyi Waislamu! Ni nani Mwengine Isipokuwa Khilafah Atalinda Haki na Heshima za Dada zetu?

Kwa kushikilia marufuku ya hijab kwa wasichana wa shule na walimu wa Kiislamu katika taasisi za elimu chini ya serikali ya Jimbo hili inayoendeshwa na chama chenye misimamo mikali cha Hindutva Bharatiya Janata (BJP),

Soma zaidi...

Enyi Watu, Hizb ut Tahrir / Wilayah Bangladesh, Inawaalika Kuhudhuria Kongamano Lijalo la Mtandaoni kwa Anwani: “Je, Kweli Tuko Huru?”

Kama mnavyojua, katika bara hili, baada ya miaka mia mbili ya mapambano dhidi ya unyonyaji na ukandamizaji wa ukoloni wa Uingereza, Pakistan na India ziliibuka kama Dola huru mnamo tarehe 14 na 15 Agosti 1947 mtawalia. Baadaye mwaka wa 1971 Bangladesh iliibuka kama Dola huru.

Soma zaidi...

Kuuawa kwa Mbebaji Ulinganizi Mkweli Omar Faruq ni Onyo Dhahiri kwa Ummah kwamba Uislamu na Waislamu Daima Watabaki bila ya Ulinzi chini ya Watawala wa Kisekula

Hizb ut Tahrir / Wilayah Bangladesh inatoa rambi rambi zake za dhati kwa Waislamu waliofiwa wa wilaya ya mbali ya milima ya Bandarban ya Bangladesh ambao wamempoteza kiongozi wao mhamasishaji Omar Faruk Tripura, Mwislamu mwenye umri wa miaka 55 aliyeuawa mbele ya nyumba yake kama shahidi (inshaAllah) mikononi mwa maadui wa Uislamu.

Soma zaidi...

Al Jazeera Haijafichua Chochote Kipya kuhusu ‘Serikali ya Kijambazi ya Hasina; Kile Ambacho Vyombo vya Habari Vinapaswa Kufichua ni Demokrasia ya Kirasilimali – Mazingira Mwanana ya Majambazi kama Hao

Kitengo cha Upelelezi cha mtandao wa Al Jazeera kimedai kufichua ufisadi mkubwa wa kisiasa wa serikali ya Hasina kupitia msururu wa rekodi za siri ("Wanaume wote wa Waziri Mkuu", aljazeera.com, 1 Februari 2021).

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu