Jumanne, 21 Shawwal 1445 | 2024/04/30
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Makubaliano ya Imarati na Bahrain Pamoja na Umbile la Kiyahudi ni Khiyana Kubwa dhidi ya Palestina Hizb ut Tahrir / Wilayah Bangladesh iliandaa Visimamo vya Kulaani dhidi ya Makubaliano Haya

Hizb ut Tahrir / Wilayah Bangladesh leo (Ijumaa, 25/09/2020) baada ya swala ya Ijumaa iliandaa maandamano katika misikiti tofauti tofauti jijini Dhaka na Chittagong dhidi ya makubaliano ya khiyana ya Imarati na Bahrain pamoja na umbile la Kiyahudi.

Soma zaidi...

Upigaji Marufuku wa Usafirishaji Nje Vitunguu Nchini India Umefichua Maumbile Halisi ya Watawala wa Kisekula wa Bangladesh Ambao Hawaoni Aibu Kujifanya kama Vinywa vya Washirikina Maadui.

Wakati ambapo India imeweka marufuku ya ghafla kwa usafirishaji wake wa kitunguu kwenda Bangladesh, watawala wetu wa vibaraka wamekuja kuokoa sura ya adui huyu mshirikina kwa kujifanya kama mdomo wake.

Soma zaidi...

Tunaionya Japan Itahadhari na Matokeo ya Kuiunga mkono Serikali ya Wauaji ya Myanmar katika Mauaji yao ya Halaiki ya Warohingya, kwa kuwa Khilafah ya Uongofu inayokaribia kwa hakika italishughulikia suala hili kwa umakinifu

Japani imeifuata India, kibaraka mwingine wa washambuliaji wa Kimagharibi, kwa kuiunga mkono Serikali ya Myanmar kuhusiana na Mauaji ya halaiki ya Waislamu Warohingya.

Soma zaidi...

Kuhamisha Nidhamu ya Usimamizi wa Usambazaji wa Maji kwa Kampuni binafsi huko Purbachal ni Madhara Makubwa na Usaliti wa Uaminifu

Baada ya kuwapisha njia mabepari wafisadi kupora pesa za umma katika sekta ya umeme, serikali ya Hasina sasa imeamua kukabidhi usimamizi wa usambazaji wa maji katika mji mpya wa Purbachal kwa kampuni binafsi ambayo lengo lake ni kupata faida tu, sio kulinda watumiaji.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu