Je, Uislamu wa Kisiasa Umeshindwa katika Vuguvugu la Waarabu?
- Imepeperushwa katika Siasa
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Januari 2021 imeshuhudia muongo mmoja wa maadhimisho ya Vuguvugu la Waarabu. Wakati madikteta wa muda mrefu wakiondolewa madarakani, pia tulishuhudia kuibuka kwa serikali mpya katika nchi kama Tunisia na Misri.