Kanisa la Kikatoliki ni Lazima Lijue Kwamba Usekula Ndio Adui Mkuu wa Dini
- Imepeperushwa katika Kenya
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Kiongozi wa kiulimwengu wa Kanisa Katoliki, Papa Francis yuko katika ziara ya kipapa barani Afrika ya siku tano. Alipokuwa nchini Kenya, Papa huyo alifanya mazungumzo na viongozi wa madhehebu mbali mbali ya kidini kuhusiana na ushirikiano na umoja wa kidini miongoni mwa dini tofauti tofauti.