Kuwekwa Kizuizini kwa Msemaji na Wanachama Kadhaa wa Hizb ut Tahrir / Wilayah Afghanistan na Watawala wa Sasa kwa Uhalifu wao wa Kulingania Khilafah!
- Imepeperushwa katika Afghanistan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Ustadh Saifullah Mustanir, Mkuu wa Afisi ya habari ya Hizb ut Tahrir katika Wilayah Afghanistan, na wanachama kadhaa wa Hizb ut Tahrir / Wilayah Afghanistan wamewekwa kizuizini na vikosi vya usalama tangu mwisho wa mwezi wa Shaaban 1445 H.