Jumapili, 11 Dhu al-Qi'dah 1445 | 2024/05/19
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Kuwekwa Kizuizini kwa Msemaji na Wanachama Kadhaa wa Hizb ut Tahrir / Wilayah Afghanistan na Watawala wa Sasa kwa Uhalifu wao wa Kulingania Khilafah!

Ustadh Saifullah Mustanir, Mkuu wa Afisi ya habari ya Hizb ut Tahrir katika Wilayah Afghanistan, na wanachama kadhaa wa Hizb ut Tahrir / Wilayah Afghanistan wamewekwa kizuizini na vikosi vya usalama tangu mwisho wa mwezi wa Shaaban 1445 H.

Soma zaidi...

Ndege Mbili za Marekani Zilikuja Moja Kwa Moja Kutoka Tel Aviv na Kutua Nchini Mwetu; Hatua Muhimu ya Kuhalalisha Mahusiano na Umbile Haramu la Kiyahudi - kupitia hili, Serikali ya Hasina Imelivua Jani la Mulberry ambalo lilisitiri Uchi wa Usaliti Wa

Ndege Mbili za Marekani Zilikuja Moja Kwa Moja Kutoka Tel Aviv na Kutua Nchini Mwetu; Hatua Muhimu ya Kuhalalisha Mahusiano na Umbile Haramu la Kiyahudi

Soma zaidi...

Tangazo la Matokeo ya Kuutafuta Mwandamo wa Mwezi wa Shawwal 1445 H Pongezi kwa Idd Al-Fitr Al-Mubarak

Baada ya kuutafuta mwandamo wa mwezi wa Shawwal katika mkesha huu uliobarikiwa wa Jumanne, mwandamo wa mwezi mpya haujathibitishwa kulingana na mahitaji ya Shariah. Kwa hivyo, kesho Jumanne ni kukamilika kwa mwezi mtukufu wa Ramadhan, Mwenyezi Mungu akipenda, na siku inayofuata kesho Jumatano, itakuwa siku ya kwanza ya mwezi wa Shawwal na siku ya kwanza ya Idd al-Fitr iliyobarikiwa.

Soma zaidi...

Serikali ya Hasina Ilishindwa Kabisa Kulinda Usalama wa Maisha na Mali ya Watu na Ubwana wa Nchi hii kutokana na Kundi la Kujitenga la Kisilaha la Kitaifa la Kuki-Chin (KNF), lakini haisiti kukandamiza Watu ili kusalia Madarakani

Serikali ya Hasina Ilishindwa Kabisa Kulinda Usalama wa Maisha na Mali ya Watu na Ubwana wa Nchi hii kutokana na Kundi la Kujitenga la Kisilaha la Kitaifa la Kuki-Chin (KNF), lakini haisiti kukandamiza Watu ili kusalia Madarakani

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu