Ijumaa, 24 Shawwal 1445 | 2024/05/03
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Mkutano wa Mfalme na Biden ni Kujitolea kwa Kuendeleza Utawala wa Kikoloni wa Amerika wa Jordan kwa Badali ya Kutafuta Uthabiti Uliopo wa Utawala kupitia Uzi wa Usimamizi

Taarifa ya Ikulu ya White House ilisema mnamo Ijumaa, Mei 13, 2022, “Rais [Biden] anafuraha kumkaribisha Mtukufu Mfalme Abdullah II wa Jordan na Mwanamfalme wake Mtarajiwa Hussein kwenye Ikulu ya White House Mei 13, 2022.

Soma zaidi...

Sheria Mpya ya Vyama ya Jordan Haizalishi Vyama vya Kisiasa kwa ajili ya Umma... Bali, Vyama kwa ajili ya Serikali

Mnamo Jumatatu, 21/3/2022, Baraza la Wawakilishi liliidhinisha rasimu ya sheria ya vyama vya kisiasa kama ilivyorekebishwa na Seneti, baada ya kuidhinishwa hapo awali na Baraza la Wawakilishi mnamo tarehe 8/3/2022, baada ya kuidhinisha vifungu vyake 43, katika vikao vinavyoendelea kwa muda wa siku tatu.

Soma zaidi...

Tanzia ya Mbebaji Ulinganizi Al-Hajj Yussuf Al-Awadhi (Abu Ayman)

Hizb ut Tahrir katika Wilaya ya Jordan inamuomboleza mbebaji Da`wah, Hajj Yussuf Muhammad Al-Awadhi (Abu Ayman), aliyekwenda kwenye rehema za Mwenyezi Mungu jana, Jumanne 30/11/2021 akiwa na umri wa miaka 80 ambayo aliitumia katika kumtii Mwenyezi Mungu na kubeba ulinganizi wa kuanzisha tena maisha kamili ya Kiislamu kupitia kusimamisha Khilafah Rashida ya pili kwa njia ya Utume.

Soma zaidi...

Uingizaji Usekula na Kutengwa kwa Mitaala ya Elimu ni Sehemu ya Sera Fisidifu ya Serikali katika Nchi za Kiislamu ... Uoanishaji wa Aina za Jinsia kama Muundo

Kwa kuzingatia shambulizi la kimpangilio la kuyagonga maadili ya Uislamu katika nchi za Kiislamu, Wizara ya Elimu nchini Jordan ilisambaza vitabu kwa idara za elimu 42 katika magatuzi anuwai kutekeleza mpango wa mafunzo kwa walimu wa kiume na wa kike juu ya "uoanishaji jinsia katika elimu na mazingira ya shule.”

Soma zaidi...

Tanzia ya Mbebaji Ulinganizi: Hajj Zidan Abdel Fattah Masoudi (Abu Tayseer Masoudi)

Hizb ut-Tahrir katika Wilayah ya Jordan anamuomboleza mbebaji da'wah, Hajj Zaidan Abdel Fattah Masoudi (Abu Tayseer Masoudi), ambaye alikwenda katika rehema ya Mwenyezi Mungu (swt) akiwa na umri wa miaka 84 ambao aliutumia katika kumtii Mwenyezi Mungu na kubeba ulinganizi wa kurudisha tena maisha ya Kiislamu kupitia kusimamisha Khilafah Rashida ya pili kwa njia ya Utume.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu