Tanzia ya Mbebaji Da’wah: Haj Abdelrahman Husain (Abu Maher)
- Imepeperushwa katika Jordan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Hizb ut Tahrir katika Wilayah ya Jordan anamuomboleza mtu katika ya watu wake bora, mbebaji Dawah, Haj Abdelrahman Husain (Abu Maher), ambaye alikwenda katika rehma za Mwenyezi Mungu Azza wa Jal mnamo Alhamisi akiwa na umri wa miaka 87 baada ya maisha ambayo aliyatumia katika kumtii Mwenyezi Mungu (swt)