Je, Sheria Haikukataza Kukatiza Swala za Ijumaa na za Jamaa
- Imepeperushwa katika Jordan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Waziri wa Wakfu na masuala ya Kiislamu nchini Jordan, Dkt. Muhammad Al-Khalayleh, juzi alitangaza mwendelezo wa kufungwa kwa misikiti katika Ufalme huo na kutoanzishwa kwa swala za Tarawehe katika misikiti na kujitolea kuzitekeleza majumbani...