Ukambi Unawaua Watoto wa Yemen na Watawala wao hata Hawajali
- Imepeperushwa katika Yemen
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Utafiti umetaja "kurudi kwa ukambi nchini Yemen" uliofanywa na mtafiti na mtaalamu wa ukambi, Dkt. Reem Al-Khashab, ambao matokeo yake yalichapishwa Machi mwaka jana, na kuthibitisha kusajiliwa kwa visa 5,000 vya ukambi katika kipindi cha miaka miwili iliyopita.