Mahdi Al-Mashat Aliota!! Na Pindi alipoamka, Alikataa Mchana Peupe Kubeba Mas'uliya kwa Wale Aliowateuwa Yeye Mwenyewe kama Mtawala Wao
- Imepeperushwa katika Yemen
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Yule anayeitwa Mkuu wa Afisi ya Upeo ya Kisiasa jijini Sanaa, Mahdi Al-Mashat, katika ujumbe aliamuru viongozi wa Wizara ya Afya kuitambua hospitali ambayo inajumuisha utaalamu maarufu zaidi katika kila vitengo vya magatuzi yaliyo chini ya udhibiti wa wanamgambo wake,