Jumamosi, 25 Shawwal 1445 | 2024/05/04
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Chama cha Ushirika wa Kilimo cha Saada nchini Yemen Ukiukaji wa Hukmu za Uislamu na Uhuishaji wa Wazo la Vyama vya Ushirika

Ijapokuwa takriban miezi miwili imepita tangu kuzinduliwa kwa natija nyingi za Chama cha Ushirika wa Kilimo cha Saada, Usajili bado ungali wazi hadi leo kwa kiwango cha elfu kumi kwa kila hisa. Hivyo basi, ni lazima tufafanue uhalisia wa vyama hivyo ambavyo vinakiuka hukmu za Sharia tukufu, na ili kuhakikisha kwamba watu wa Yemen hawaanguki ndani makosa yao hatari.

Soma zaidi...

Je, Kunyanyua Kauli Mbiu ya "Kujitosheleza" Kunawiana na Kuomba Usaidizi wa Kimataifa, Ee Serikali ya Wokovu Kaskazini mwa Yemeni?

Serikali ya Wokovu jijini Sanaa ilizindua ombi kupitia kwa Waziri wake wa Mambo ya Nje, Hisham Sharaf, kwa mawaziri wa mambo ya nje wa Sweden na Switzerland, katika nafasi zao kama wenyeviti wa Kongamano la Wafadhili kuhusu Hali ya Kibinadamu nchini Yemen kwa mwaka wa 2022.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu