Jumatatu, 27 Shawwal 1445 | 2024/05/06
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

بسم الله الرحمن الرحيم

Enyi Askari katika Majeshi ya Waislamu,

[أَلَيْسَ مِنْكُمْ رَجُلٌ رَشِيد]

Hivyo, hamna hata mtu mmoja miongoni mwenu aliye ongoka? [Hud:78]
(Imetafsiriwa)

Ni karibu mwezi mmoja sasa tangu uvamizi mkubwa wa wanyakuzi wa Kiyahudi huko Gaza, pamoja na Ukingo wa Magharibi, na Lebanon. Wamewauwa watu, wazee, wanawake na watoto, na wameharibu miti na mawe katika vitendo vilivyo zidi uhalifu wote na zaidi ya aina yoyote ya uvamizi! Ilhali watawala bado wamekaa kimya, na wanapozungumza, ni kuhesabu idadi ya waliokufa shahidi, kujeruhiwa, na maeneo yaliyoharibiwa.

[صُمٌّ بُكْمٌ عُمْيٌ فَهُمْ لَا يَعْقِلُونَ]

viziwi, mabubu, vipofu, kwa hivyo hawaelewi.” [Al-Baqara:171].

Watawala hawa wataangamia katika tabia zao, ambapo haishangazi. Wako katika kutumiwa na mataifa ya wakoloni makafiri. Wanasema kile wanachoambiwa kusema na kufanya kile kinachohitajika. Wanakubali kutochukua hatua yoyote na kuitukuza mipaka, wakitangaza kwamba usalama wao wa kitaifa ni mstari mwekundu usiopaswa kuvukwa. Wanasahau au kupuuza kwa urahisi kuwa ardhi za Waislamu ni moja, iwe ziko kwenye pembe za mbali zaidi za dunia au karibu. Je! Ni nini basi wakati wanapumua hewa yake na kuangalia anga zake, kama huko Gaza na maeneo yanayofanana nayo?

Enyi Askari katika Majeshi ya Waislamu:

Je! Damu ya ndugu na dada zenu inayomwagwa huko Gaza Hashem haikuathirini? Je! Vilio vya watoto, maombi ya wanawake, na maombi ya wazee hayakuhamasisheni ili kuwapa Nusrah (msaada)?

[وَإِنِ اسْتَنصَرُوكُمْ فِي الدِّينِ فَعَلَيْكُمُ النَّصْرُ]

Lakini wakiomba msaada kwenu katika Dini, basi ni juu yenu kuwasaidia,” [Al-Anfal:72]. Je! Aya za Mwenyezi Mungu na Mwenye nguvu hazikuhamasisheni kusimama kama wanaume wa kweli dhidi ya umbile la Kiyahudi?

[قَاتِلُوهُمْ يُعَذِّبْهُمُ اللَّهُ بِأَيْدِيكُمْ وَيُخْزِهِمْ وَيَنصُرْكُمْ عَلَيْهِمْ وَيَشْفِ صُدُورَ قَوْمٍ مُّؤْمِنِينَ]

“Piganeni nao, Mwenyezi Mungu awaadhibu kwa mikono yenu, na awahizi na akunusuruni muwashinde, na avipoze vifua vya kaumu ya Waumini” [At-Tawba:14]. Je! Hamtamani moja ya matokeo bora mawili - ima utukufu katika ulimwengu huu au ushindi na mafanikio katika Akhera, na radhi za Mwenyezi Mungu ni kubwa zaidi ?! Je! Sauti zenu hazipaswi kuitkia maneno ya Mwenyezi Mungu (swt):

[قُلْ هَلْ تَرَبَّصُونَ بِنَا إِلَّا إِحْدَى الْحُسْنَيَيْنِ وَنَحْنُ نَتَرَبَّصُ بِكُمْ أَنْ يُصِيبَكُمُ اللهُ بِعَذَابٍ مِنْ عِنْدِهِ أَوْ بِأَيْدِينَا فَتَرَبَّصُوا إِنَّا مَعَكُمْ مُتَرَبِّصُونَ]

Sema: Hivyo mnatutazamia litupate lolote isipo kuwa moja katika mema mawili? Na sisi tunakutazamieni kuwa Mwenyezi Mungu akufikishieni adhabu itokayo kwake, au kutokana na mikono yetu. Basi ngojeni, nasi tunangoja pamoja nanyi."” [At-Tawba:52]

Enyi Askari katika Majeshi ya Waislamu:

Je! Utiifu kwa Mwenyezi Mungu ndio bora, au utiifu kwa watawala wenu wanaompiga vita Mwenyezi Mungu na Mtume wake na kushirikiana na maadui wa Mwenyezi Mungu na Mtume wake ndio bora? Utiifu kwa Mwenyezi Mungu ndio bora, na Yeye ndiye anayesema,

[يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا هَلْ أَدُلُّكُمْ عَلَى تِجَارَةٍ تُنْجِيكُمْ مِنْ عَذَابٍ أَلِيمٍ * تُؤْمِنُونَ بِاللهِ وَرَسُولِهِ وَتُجَاهِدُونَ فِي سَبِيلِ اللهِ بِأَمْوَالِكُمْ وَأَنْفُسِكُمْ ذَلِكُمْ خَيْرٌ لَكُمْ إِنْ كُنْتُمْ تَعْلَمُونَ * يَغْفِرْ لَكُمْ ذُنُوبَكُمْ وَيُدْخِلْكُمْ جَنَّات تَجْرِي مِنْ تَحْتِهَا الْأَنْهَارُ وَمَسَاكِنَ طَيِّبَةً فِي جَنَّاتِ عَدْنٍ ذَلِكَ الْفَوْزُالْعَظِيمُ * وَأُخْرَى تُحِبُّونَهَا نَصْرٌ مِنَ اللهِ وَفَتْحٌ قَرِيبٌ وَبَشِّرِ الْمُؤْمِنِينَ]

“Enyi mlio amini! Nikuonyesheni biashara itakayo kuokoeni na adhabu iliyo chungu? * Muaminini Mwenyezi Mungu na Mtume wake, na piganeni Jihadi katika Njia ya Mwenyezi Mungu kwa mali yenu na nafsi zenu. Haya ni bora kwenu, ikiwa nyinyi mnajua. * Atakusameheni dhambi zenu, na atakutieni katika Mabustani yapitiwayo na mito kati yake, na maskani nzuri nzuri katika Bustani za milele. Huko ndio kufuzu kukubwa. * Na kinginecho mkipendacho, nacho ni nusura itokayo kwa Mwenyezi Mungu, na ushindi ulio karibu! Na wabashirieni Waumini!” [As-Saff:10-13]. Je! Utiifu kwa Mwenyezi Mungu ndio bora, au utiifu kwa watawala wenu ambao hufanya usalama wao wa kitaifa kuikana Gaza na watu wake, ambao wako karibu mno nao?!

Watawala hawa wanaoshirikiana na wakoloni makafiri, ambao wasiwasi wao iko katika kudumisha viti vyao vibovu vya utawala, hawatakufaidini katika ulimwengu huu au Akherah iwapo mtawafuata. Udhuru wenu wa kuwatii utakataliwa Yawm al-qiyamah (Siku ya Kiyama).

[إِذْ تَبَرَّأَ الَّذِينَ اتُّبِعُوا مِنَ الَّذِينَ اتَّبَعُوا وَرَأَوُا الْعَذَابَ وَتَقَطَّعَتْ بِهِمُ الْأَسْبَابُ * وَقَالَ الَّذِينَ اتَّبَعُوا لَوْ أَنَّ لَنَا كَرَّةً فَنَتَبَرَّأَ مِنْهُمْ كَمَا تَبَرَّءُوا مِنَّا كَذَلِكَ يُرِيهِمُ اللهُ أَعْمَالَهُمْ حَسَرَاتٍ عَلَيْهِمْ وَمَا هُمْ بِخَارِجِينَ مِنَ النَّارِ]

Walio fuatwa watakapo wakataa wale walio wafuata, na hali ya kuwa wamekwisha iona adhabu; na yatakatika mafungamano yao. * Na watasema wale walio fuata: Laiti tungeweza kurudi tukawakataa wao kama wanavyo tukataa sisi! Hivi ndivyo Mwenyezi Mungu atakavyo waonyesha vitendo vyao kuwa majuto yao; wala hawatakuwa wenye kutoka Motoni.” [Al-Baqara:166-167].

Enyi Askari katika Majeshi ya Waislamu:

Umbile la Kiyahudi sio watu wa vita au mapigano. Ni waoga na ni madhalili na wadhaifu. Mnashuhudia waumini wachanga kutoka safu zenu wenyewe wakiwa na silaha ambazo haziwezi kulinganishwa na zile za Mayahudi, na ilhali wanawashambulia kwa nguvu. Wao [Mayahudi] wanawakimbia, na kuzigeukia ndege ili kuwalinda.

[لَنْ يَضُرُّوكُمْ إِلَّا أَذًى وَإِنْ يُقَاتِلُوكُمْ يُوَلُّوكُمُ الْأَدْبَارَ ثُمَّ لَا يُنْصَرُونَ * ضُرِبَتْ عَلَيْهِمُ الذِّلَّةُ أَيْنَ مَا ثُقِفُوا إِلَّا بِحَبْلٍ مِنَ اللهِ وَحَبْلٍ مِنَ النَّاسِ وَبَاءُوا بِغَضَبٍ مِنَ اللهِ وَضُرِبَتْ عَلَيْهِمُ الْمَسْكَنَةُ ذَلِكَ بِأَنَّهُمْ كَانُوا يَكْفُرُونَ بِآيَاتِ اللهِ وَيَقْتُلُونَ الْأَنْبِيَاءَ بِغَيْرِ حَقٍّ ذَلِكَ بِمَا عَصَوْا وَكَانُوا يَعْتَدُونَ]

Maadui hawatakudhuruni ila ni maudhi tu. Na wakipigana nanyi watakupeni mgongo, na tena hawatanusuriwa. * Wamepigwa na udhalili popote wanapo kutikana, isipo kuwa wakishika kamba ya Mwenyezi Mungu na kamba ya watu. Na wakastahiki ghadhabu ya Mwenyezi Mungu, na wamepigwa na unyonge. Hayo ni kwa sababu walikuwa wakizikataa Ishara za Mwenyezi Mungu, na wakiwauwa Manabii pasina haki; hayo ni kwa sababu waliasi na walikuwa wakiruka mipaka.” [Aal-i-Imran:111-112].

Enyi Askari katika Majeshi ya Waislamu:

Kumbukeni Aya za Mwenyezi Mungu, kumbukeni hadith za Mtume wa Mwenyezi Mungu, kumbukeni ushujaa wa Maswahaba wa Mtume wa Mwenyezi Mungu, kumbukeni kujitolea mhanga kwa mababu zenu, kumbukeni 'Wa mu'tasimah.' Kumbukeni, 'Jibu ni kile mnachokitazama, sio kile mnachokisikia.' Kumbukeni Hattin na ukombozi wa Al-Quds kutoka kwa Makruseda. Kumbukeni Ain Jalut na kuondolewa kwa Matatari. Mbukeni Muhammad Al-Fatih na ufunguzi wa Konstantinopoli. Kumbukeni utukufu wa Uislamu na wema wa Ummah wa Kiislamu.

Enyi Askari katika Majeshi ya Waislamu:

Songeni kuelekea kwenye ushindi kutoka kwa Mwenyezi Mungu, ufunguzi wa karibu, na muwape bishara njema waumini. Ongozeni kuinusuru Gaza na watu wake. Ikiwa watawala watasimama katika njia yenu, waangusheni chini. Songeni ili kuwanusuru ndugu zenu na muwe kama Mwenyezi Mungu alivyo kuamuruni.

[وَلَا تَهِنُوا فِي ابْتِغَاءِ الْقَوْمِ إِنْ تَكُونُوا تَأْلَمُونَ فَإِنَّهُمْ يَأْلَمُونَ كَمَا تَأْلَمُونَ وَتَرْجُونَ مِنَ اللهِ مَا لَا يَرْجُونَ وَكَانَ اللهُ عَلِيماً حَكِيماً]

“Wala msifanye ulegevu kuwafukuzia kaumu ya maadui. Ikiwa mnaumia, basi nao pia wanaumia kama mnavyo umia nyinyi. Nanyi mnataraji kwa Mwenyezi Mungu wasio yataraji wao. Na hakika Mwenyezi Mungu ni Mjuzi na Mwenye hikima.” [An-Nisa:104].

Enyi Askari katika Majeshi ya Waislamu:

Kwa hakika mnajua kuwa Palestina ni ardhi iliyobarikiwa, ardhi ya Kiislamu ambayo Mayahudi hawana haki ya mamlaka, na suluhisho la dola mbili halina nafasi huko. Kama ambavyo ilifunguliwa na al-Farooq, iliyohifadhiwa na Khulafaa Rashideen (Makhalifa waongofu), iliyokombolewa na Salah al-Din, na kulindwa na Abdul Hamid II kutokana na Mayahudi, itarudi kupitia juhudi za askari wenye ikhlasi wa Mwenyezi Mungu ambaye wanatimiza hadith ya Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw): «لَتُقَاتِلُنَّ الْيَهُودَ فَلَتَقْتُلُنَّهُمْ...» “Kwa yakini mtapigana na Mayahudi na kwa yakini mtawauwa …” [Imepokewa na Muslim kutoka kwa Ibn Omar].

Enyi Askari katika Majeshi ya Waislamu:

Je! Hakuna miongoni mwenu mtu mwenye busara anayeweza kukuongozeni kumnusuru Mwenyezi Mungu na Mtume wake? Hakuna miongoni mwenu mtu mwenye busara anayeweza kukuongozeni

[نَصْرٌ مِنَ اللهِ وَفَتْحٌ قَرِيبٌ]

nusura itokayo kwa Mwenyezi Mungu, na ushindi ulio karibu! [As-Saf:13]. Itikieni wito wa Umma unapokuiteni. Toeni nusra kwa Ardhi Iliyobarikiwa inapotafuta nusra yenu.

[يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا إِنْ تَنْصُرُوا اللَّهَ يَنْصُرْكُمْ وَيُثَبِّتْ أَقْدَامَكُمْ * وَالَّذِينَ كَفَرُوا فَتَعْسًا لَهُمْ وَأَضَلَّ أَعْمَالَهُمْ]

“Enyi mlio amini! Mkimnusuru Mwenyezi Mungu naye atakunusuruni na ataithibitisha miguu yenu. Na walio kufuru, basi kwao ni maangamizo, na atavipoteza vitendo vyao.” [Muhammad:7-8].

H. 17 Rabi' II 1445
M. : Jumatano, 01 Novemba 2023

Hizb-ut-Tahrir

Andika maoni

Hakikisha umejaza (*) habari zinazohitajika palipoashiriwa. Kodi za HTML haziruhusiwi.

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu