Jumamosi, 14 Muharram 1446 | 2024/07/20
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Tukio la Bek-Abad: Mateso na Mashtaka ya Uongo

Huduma ya Usalama wa Taifa ya Kyrgyz iliwakamata wasichana wawili wenye umri wa miaka 16 na 19 katika kijiji cha Bek-Abad katika eneo la Suzak, na wanatuhumiwa kubadilisha bendera ya dola katika maeneo kadhaa. Mbali na ukaguzi huo uliofanyika mnamo Mei 31 na Juni 4, uliopelekea dada 4 wa Kiislamu kuwekwa chini ya uchunguzi kuhusiana na tukio hilo.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu