Ijumaa, 09 Dhu al-Qi'dah 1445 | 2024/05/17
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Hizb ut Tahrir / Uholanzi: Matembezi ya Amsterdam “Komesheni Mauaji ya Halaiki Mjini Gaza”

Hizb ut Tahrir / Uholanzi iliandaa maandamano katika mji mkuu wa Uholanzi, Amsterdam, kuinusuru Gaza, yenye kauli mbiu “Komesheni Mauaji ya Halaiki Mjini Gaza.” Maandamano hayo yalizunguka mitaa ya Amsterdam, yakisindikizwa na nyimbo za vijana wakitaka kunusuriwa kwa Gaza na kuhamasishwa kwa majeshi ya Waislamu.

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir/ Uholanzi: Semina Maandamano ya Halaiki yenye Kichwa "Ikomboeni Palestina!"

Hizb ut Tahrir / Uholanzi iliandaa maandamano ya halaiki yenye kichwa "Ikomboeni Palestina" katika mji wa Amsterdam mnamo Jumapili 22/10/23 saa nane adhuhuri na kukamilika kwa kuyaomba majeshi na viongozi wake kutaharaki na kusonga kwa ajili ya kuikomboa Ardhi iliyobarikiwa ya Palestina.

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir/ Uholanzi: Semina Serikali Zinahusika na Siasa za Kupinga Uislamu, Mashambulizi dhidi ya Quran

Hivi karibuni, mashambulizi dhidi ya Kitabu cha Mwenyezi Mungu Mtukufu yamefanywa upya katika nchi nyingi za Ulaya, ikiwemo Uswidi, ambapo mtu muovu mwenye chuki iliichoma moto nakala ya Qur'an Tukufu mbele ya ubalozi wa Uturuki jijini Stockholm, na kisha mtu mmoja mwanachama wa Harakati dhidi ya Kiislamu ya Pegida iliichana nakala ya Qur’an nchini Uholanzi

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir / Uholanzi Matukio ya Kumbukumbu ya 99 ya Kuanguka kwa Khilafah 1441 H – 2020 M

Hizb ut Tahrir / Uholanzi imefanya msururu wa matukio kufuatia muongozo wa Amir wa Hizb ut Tahrir, Mwanachuoni mkubwa, At Bin Khalil Abu Al-Rashta, Mwenyezi Mungu amuhifadhi, Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir imezindua kampeni pana ya kiulimwengu ikifanywa na Hizb ut Tahrir katika kumbukumbu ya 99 ya Kuanguka kwa Khilafah 1441 H - 2020 M.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu