Jumamosi, 14 Muharram 1446 | 2024/07/20
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Kwa Nini Wafungwa wa Kisiasa wa Zamani Wanakamatwa Tena?

Vijana 23 wanaoshtakiwa kwa sasa huko Tashkent wote wamekuwa gerezani kwa zaidi ya miaka ishirini na hawajaregea kwa familia zao kwa muda mrefu. Ni wanaume mashujaa wa zama zetu waliotaka kufuata Dini yetu kikamilifu, hawakukaa kimya mbele ya ukandamizaji, na kisha wakatuhumiwa kwa sababu ya fikra na imani zao, wakistahamili karibu robo karne ya mateso yasiyo ya kibinadamu kizuizini.

Soma zaidi...

Barua kwa Raisi wa Uzbekistan Shavkat Mirziyoyev

Tunamwambia Bw. Shavkat Mirziyoyev: Mashababu wote wa Hizb ut Tahrir wanaozuiliwa katika magereza ya Uzbekistan, ambao kwa sasa wako katika kesi, wanaofanyiwa uchunguzi, au wanaoishi uhamishoni, ni Wauzbekistani. Mwenyezi Mungu amewapa haki kamili ya kutoa maoni yao kwa manufaa ya nchi hii... Zaidi ya hayo, ulipochukua urais, ulikula kiapo kwenye muundo huo wa kikatiba uliothibitisha haki ya kujieleza na kuabudu. Hivyo basi, utawala haujashikamana na amri ya Mwenyezi Mungu wala muundo huo wa kikatiba kiutendaji!

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu