Alhamisi, 16 Dhu al-Hijjah 1446 | 2025/06/12
Saa hii ni: 06:34:23 (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir: Kitengo cha Wanawake: “Enyi Mujahidina wa Ash-Sham! Wacha iwe kwa Ajili ya Mwenyezi Mungu!

Video hii pia inazungumzia jinsi ushindi na mafanikio ya kweli kwa nchi ya Syria na kwengineko yanaweza kupatikana tu kupitia kuziondolea ardhi zetu mabaki yote ya uingiliaji kati na utawala wa wakoloni - ikiwemo vipengele vyote vya mfumo wao wa kisiasa na imani, na kuikumbatia ruwaza ya kweli ya Kiislamu iliyo huru. Hili linaweza kupatikana tu kwa kutekeleza Sheria na Mfumo wa Mwenyezi Mungu (swt) kwa ukamilifu chini ya kivuli cha Khilafah kwa njia ya Utume.

Soma zaidi...

Jibu la Swali: Uhamishaji wa Watu wa Gaza

Al Jazeera ilichapisha kwenye tovuti yake mnamo tarehe 26/1/2025: “Rais wa Marekani Donald Trump alisema kwamba anaishinikiza Jordan, Misri na nchi nyingine za Kiarabu kupokea wakimbizi zaidi wa Kipalestina kutoka Gaza, baada ya vita vya Israel dhidi ya Ukanda huo kusababisha mgogoro wa kibinadamu. Alipoulizwa ikiwa hili lilikuwa pendekezo la muda au la muda mrefu, Trump alisema, “Inaweza kuwa hili au lile.”

Soma zaidi...

Hatimaye, Baada ya Mauaji ya Kutisha na Maangamizi Mabaya Yaliyofanywa na Mayahudi mjini Gaza… Na Baada ya Kimya cha Kuchukiza cha Watawala wa Waislamu…Trump Aanzisha Usitishaji Tete wa Vita

Mnamo tarehe 16 Januari 2025, tovuti ya Al Jazeera ilichapisha masharti ya makubaliano ya kusitisha mapigano katika Ukanda wa Gaza kuanza leo, Jumapili, Januari 19, 2025. Ilisema: [(Makubaliano ya kusitisha vita katika Ukanda wa Gaza yalitangazwa katika mji mkuu wa Qatar, Doha kutekelezwa katika hatua 3.

Soma zaidi...

Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir: Amali za Kilimwengu za Hizb ut Tahrir katika Kumbukumbu ya Kuvunjwa kwa Khilafah 1446 H – 2025 M

Katika mwezi wa Rajab Mtukufu mwaka huu 1446 H - 2025 M, tunakumbuka kumbukumbu mbaya ya miaka 104 ya kuvunjwa kwa Dola ya Kiislamu na wahalifu wa Waarabu na Waturuki, ambayo ilianzishwa na Bwana wa Mitume, Muhammad, rehma na amani ziwe juu yake, na Maswahaba zake watukufu na waliobarikiwa, Mwenyezi Mungu awe radhi nao, na kuondolewa kwa mfumo wa utawala wa Kiislamu (Khilafah) mnamo tarehe 28 Rajab Tukufu katika mwaka wa 1342 H sawia na tarehe 3 Machi 1924 M mikononi mwa mhalifu Mustafa Kemal. Kutokana na hili, Hizb ut Tahrir inaandaa amali mbalimbali za umma katika nchi zote ambazo inaendesha shughuli zake za kuwahamasisha Waislamu kufanya kazi kwa bidii ili kusimamisha Dola ya Kiislamu, Khilafah Rashida ya pili kwa njia ya Utume.

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu