- |
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- ukubwa wa font punguza ukubwa wa font zidisha ukubwa wa font
بسم الله الرحمن الرحيم
Hizb ut Tahrir / Uholanzi:
Matembezi mjini Amsterdam “Miaka 75, na Mwaka Mmoja wa Mauaji ya Halaiki mjini Gaza!”
Mbele ya matendo ya kishujaa yaliyofanywa na Mujahidina mashujaa katika Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina) chini ya kauli mbiu ya (Kimbunga cha Al-Aqsa) dhidi ya umbile nyakuzi la Kiyahudi ambalo linaendelea na shambulizi lake dhidi ya Msikiti uliobarikiwa wa Al-Aqsa na kuzingirwa kwake na mashambulizi ya mara kwa mara ya mabomu kwa Ukanda wa Gaza kwa miaka 17, na mbele ya mauaji ya kikatili yaliyofanywa na umbile hili halifu katika kipindi cha miaka saba iliyopita dhidi ya Waislamu wasio na ulinzi katika Ukanda wa Gaza, ambayo yamesababisha kuuawa shahidi na kujeruhiwa kwa Waislamu zaidi ya 150,000 wanaume na wanawake, Hizb ut Tahrir / Uholanzi iliandaa matembezi katika mji mkuu wa Uholanzi, Amsterdam, kwa mnasaba wa kupita mwaka mmoja kamili wa vita vya mauaji ya Halaiki dhidi ya Waislamu wa mji wa Gaza Hashem, kunusuru na kuiombea nusra na Izza Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina) na Gaza, kauli mbiu yake ni:
“Miaka 75, na Mwaka Mmoja wa Mauaji ya Halaiki mjini Gaza!”
Basi kuweni pamoja nasi...
Jumapili, 10 Rabi’ ul-Akhir 1446 H sawia na 13 Oktoba 2024 M
#طوفان_الأقصى
#الجيوش_إلى_الأقصى
#الأقصى_يستصرخ_الجيوش
#ArmiesToAqsa
#AksaTufanı
#OrdularAksaya
Aqsa_calls_armies#
#AqsaCallsArmies
Kwa Maelezo zaidi, Tafadhali Zuru Mitandao ya Hizb ut Tahrir / Uholanzi:
Tovuti Rasmi ya Hizb ut Tahrir / Uholanzi
Facebook: Hizb ut Tahrir / Uholanzi