Marekani Yausukuma Ushawishi wa Urusi nje ya Armenia
- Imepeperushwa katika Siasa
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Nancy Pelosi anazuru Armenia kuhusiana na kuadhimisha mapatano ya Azerbaijan, kituo cha televisheni cha Qatari cha Al Jazeera kinaripoti.
Nancy Pelosi anazuru Armenia kuhusiana na kuadhimisha mapatano ya Azerbaijan, kituo cha televisheni cha Qatari cha Al Jazeera kinaripoti.
Mnamo 2008 vita vilivyokuwa vikiendelea kati ya Ethiopia na Eritrea vilimalizika rasmi. Hata hivyo, kuyumba kwa eneo hilo kunakochochewa na fikra za utaifa kumesababisha serikali ya Ethiopia kuingia katika mienendo ya mizozo na taifa jirani la Tigray.
Waislamu lazima waibuke kutoka katika mporomoko. Hili angalau linakubalika kwa wote, waliberali na wanaharakati wa Kiislamu. Hata hivyo, tafauti inakuja katika fikra zinazopelekea katika uoni huu. Msukumo kwa msimamo wa waliberali ni maendeleo ya ajabu ya kisayansi na ya vitu ya Wamagharibi, ambayo yanaweka kipimo kwa waliberali.
“Tunasikitishwa sana na jinsi vita vya Putin nchini Ukraine vimekatiza pakubwa silsila za usambazaji za kimataifa za chakula na kilimo, na tishio vinavyoleta kwa usalama wa chakula duniani. Tunatambua kuwa nchi nyingi duniani zimekuwa zikitegemea chakula na pembejeo za mbolea kutoka Ukraine na Urusi, huku uchokozi wa Putin ukivuruga biashara hiyo.” (Taarifa ya Pamoja ya Ikulu ya White House ya Rais wa Marekani Joe Biden na Rais wa Muungano wa Ulaya Ursula von der Leyen)
Shirika la Anadolu katika makala, "Mamlaka ya Uturuki katika uwanja wa kimataifa yanaongezeka," linatoa mukhtasari wa hotuba ya Rais wa Uturuki Erdogan kwa wawakilishi wa chama tawala cha Haki na Maendeleo.
Baada ya miaka 19 na miezi 9 na kwa gharama ya zaidi ya dolari trilioni 2, serikali inayoungwa mkono na Marekani nchini Afghanistan ilianguka baada ya Taliban kuuzingira mji mkuu, Kabul mnamo Agosti 2021.
Mdahalo wa nchi nzima kuhusu Siku ya Uhuru wa Pakistan, 14 Agosti, umepanuka hadi kuhoji muundo wa katiba na siasa zinazotekelezwa. Ni mjadala wa kimsingi, ambao utafafanua mwelekeo wa juhudi za Waislamu wa Pakistan wanaoteseka kwa muda mrefu, kwa ajili ya mabadiliko.
Katika kipindi cha wiki moja tu, kutokana na maagizo ya IMF, serikali ya Pakistan imeongeza bei ya petroli na dizeli kwa PKR 60. Hivyo petroli imechupa kutoka PKR 150 hadi 210! Kwa mara nyengine, mfumo wa uagiziaji umeweka rekodi mpya.
Vita vya sasa nchini Ukraine vimechokonoa boksi la Pandora la mjumuiko mpya wa mambo magumu na mizozo kote duniani ambapo vita havielekei kumalizika karibuni.
Vita katika Ukraine vimeiweka Magharibi katika mapambano dhidi ya adui wake wa muda mrefu – Urusi.