Jumatatu, 04 Sha'aban 1446 | 2025/02/03
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Afisi ya Habari
Wilayah Sudan

H.  29 Rajab 1446 Na: HTS 1446 / 44
M.  Jumatano, 29 Januari 2025

Mwaliko wa Kuhudhuria na Kushiriki katika Kikao cha Masuala ya Ummah

(Imetafsiriwa)

Sisi katika Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan tunafuraha kuwaalika wanataaluma wa vyombo vya habari, wanasiasa, na wale wanaopenda masuala ya umma kuhudhuria na kushiriki katika Kikao cha Masuala ya Ummah cha kila mwezi, ambao mwezi huu kimepewa kichwa:

Sera ya Trump kwa Mashariki ya Kati… na Hasa Sudan

Wazungumzaji kwenye Mkao:

1. Ustadh Hatem Jaafar, Wakili, Mjumbe wa Baraza la Hizb ut Tahrir katika Wilayah ya Sudan

2. Ustadh Faqir Hajj Mohammed Ahmed, Wakili, Mwanachama wa Hizb ut Tahrir

Mwendesha kikao: Ustadh Ibrahim Musharraf, Mjumbe wa Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir Wilayah ya Sudan

Tarehe na Wakati: Jumamosi, 2 Sha'aban 1446 H sawia na 1 Februari 2025 M saa 13:00 Adhuhuri

Mahali: Afisi ya Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan – Port Sudan – Wilaya ya Al-Azama – Mashariki mwa Uga.

Uwepo wenu ni heshima kwetu, kwani unaakisi kujitolea kwenu kwa masuala ya Ummah wenu.

Ibrahim Othman (Abu Khalil)

Msemaji Rasmi wa Hizb ut Tahrir katika Wilayah Sudan

Hizb-ut Tahrir: Afisi ya Habari
Wilayah Sudan
Address & Website
Tel: 0912240143- 0912377707
http://www.hizb-sudan.org/
E-Mail: Spokman_sd@dbzmail.com

Andika maoni

Hakikisha umejaza (*) habari zinazohitajika palipoashiriwa. Kodi za HTML haziruhusiwi.

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu