Jumatatu, 21 Safar 1446 | 2024/08/26
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Enyi Waislamu wa India! Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw) amesema, “Yeyote anayeuwawa kwa kutetea mali yake ni shahidi, na yeyote anayeuwawa kwa kutetea Dini ni shahidi, na yeyote anayeuwawa kwa kutetea damu yake ni shahidi na yeyote anayeuwawa kwa kutet

Ulimwengu ulishuhudia, kwenye mitandao ya kijamii, kipande cha video cha kutisha kinachoonyesha polisi wa India wakiwafyatulia risasi wakaazi wa kitongoji cha Waislamu, katika jimbo la Assam kaskazini mashariki mwa India,

Soma zaidi...

Indonesia: Kongamano la Kimataifa la Mawakili Waislamu

Kwa kuzingatia masaibu wanayopitia Waislamu katika biladi tofauti tofauti ya ukandamizaji, umasikini, mauaji, kuhama makaazi, mauaji ya halaiki, na uchafuzi wa heshima kwa Rohingya, Uyghur, Kashmir na India, na hali duni ya maisha ya mamilioni ya wakimbizi katika kambi na kunyimwa kwao wengi mahitaji ya kimsingi nchini Syria, Yemen na Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina) na kwengineko katika upande mmoja

Soma zaidi...

Wilayah Syria: Ripoti ya Video ya Warsha ya Atma "Mabomu ya hivi majuzi... Je! Matumaini ya Kurudi Yamepotea?"

Ripoti ya video ya Warsha iliyoandaliwa na Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria katika mji wa Atma viungani mwa Idlib kama sehemu ya msururu wa warsha zilizoandaliwa eneo la kaskazini mwa Syria lililokombolewa ili kueneza utambuzi wa kisiasa kati ya watu, na zilikuwa kwa anwani:

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu