Alhamisi, 24 Safar 1446 | 2024/08/29
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Hizb ut Tahrir / Sweden: Maandamano ya Kuwaunga mkono Ndugu zetu Waislamu wa Turkestan Mashariki

Hizb ut Tahrir nchini Sweden iliandaa maandamano mbele ya Ubalozi wa Uchina kupinga mateso na ubaguzi unaofanywa na Utawala wa Kikomunisti wa Uchina kwa Waislamu Wauighur Turkestan Mashariki. Mfanyakazi wa Ubalozi wa Uchina alifungulia mziki kwa sauti ya juu sana kupitia spika za sauti ili kuvuruga maandamano licha ya polisi kuwaonya wazime mziki.

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan Hizb ut Tahrir Imekoleza Kampeni zake za Kujenga Ufahamu na Kuunganisha Ummah

Kwa kuzingatia muongozo wa chama kushiriki katika maslahi ya Ummah, Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan, eneo la Omdurman Magharibi, ilifanya warsha kubwa ya kisiasa mnamo 14, Disemba 2019 kwa anwani: “Matatizo ya Kijiji cha Al-Ikhlas yapo baina ya Dola ya Ustawi na Dola ya Ukusanyaji”, ambayo ilipokelewa kwa maingiliano na uchangamfu mkubwa.

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir / Wilayah Uturuki: Amali za Kusoma Taarifa kwa Vyombo vya Habari ili Kuwanusuru Watu wa Turkestan Mashariki

Hizb ut Tahrir/ Wilayah Uturuki iliandaa amali za kusoma Taarifa kwa Vyombo vya Habari kuwanusuru watu wa Turkestan Mashariki ambapo wanakandamizwa kwa mikono ya Wachina kwa anwani, “Nani Ataipa Nussrah Turkestan Mashariki… Nani Atasitisha Ukandamizaji wa Uchina?!” Ilifanyika baada swala ya Juma’ katika miji saba.

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir / Ardhi ya Baraka - Palestina: Kitengo cha Wanawake Kimeandaa Warsha kuhusu CEDAW

Kitengo cha Wanawake katika Hizb ut Tahrir ndani ya Ardhi ya Baraka (Palestina) kiliandaa mnamo Jumatano, 23 Rabii' Awwal 1441 H – 20 Novemba 2019 M warsha kubwa baada ya swala ya Asr ndani ya Msikiti wa Al-Sha'rawi huko Hebron (al-Khalil) ikiwa ni sehemu ya kampeni ya uzindushi dhidi ya CEDAW.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu