Amali zilizo Andaliwa kipindi cha Kampeni ya Kiulimwengu, “Ukombozi wa Kostantinopol Bishara Njema ikatimia…ikifuatiwa na Bishara Njema”!
- Imepeperushwa katika Tunisia
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Chini ya muongozo wa Amir wa Hizb ut Tahrir, Mwanachuoni Mkubwa, Ata Bin Khalil Abu Al-Rashtah, Mwenyezi Mungu Swt Amuhifadhi, Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir imezindua kampeni pana ya kiulimwengu kuadhimisha tukio la Kumbukumbu ya Hijiria ya Ukombozi wa Kostantinopoli #Kostantinopol...