Jumamosi, 14 Muharram 1446 | 2024/07/20
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

بسم الله الرحمن الرحيم

 Hizb ut Tahrir / Wilayah Uturuki

Kongamano la kiuchumi Mjini Adana "Masuluhisho ya Kiislamu kwa Mgogoro wa kiuchumi!"

Hizb ut-Tahrir / Wilayah Uturuki iliandaa kongamano la kiuchumi katika Kituo cha Elimu ya Umma cha Yorgir mjini Adana kwa anwani "Masuluhisho ya Kiislamu kwa Mgogoro wa Kiuchumi!" Kongamano hilo ambalo liliwasilishwa na UstadhFurkan Turamantkin, lilianza kwa hotuba ya ufunguzi ya Ustadh Aziz Terazi, na kufuatiwa na hotuba ya Ustadh Musa Beyoglu, ambapo alielezea kwa uwazi sababu halisi za migogoro tunayopitia na suluhisho la Kiislamu. Baada ya hotuba yake, Ustadh Abdullah Imamoglu alichukua nafasi hiyo ambapo aligusia masuluhisho ya mfumo wa uchumi wa Kiislamu na namna ya kuyatekeleza, na kwamba kuokoka kutokana na mgogoro na matatizo yaliyopo hakutawezekana isipokuwa kwa nidhamu ya kiuchumi ya Kiislamu haswa na mfumo wa Kiislamu kwa ujumla.

Kwa Mengi zaidi Bonyeza Hapa

Jumamosi, 26 Jumada al-Akhir 1443 H sawia na 29 Januari 2022 M

Kwa Maelezo Zaidi Zuru Mitandao ya Hizb ut Tahrir / Wilayah Uturuki:

Tovuti Rasmi ya Hizb ut Tahrir / Wilayah Uturuki

Ukurasa wa Facebook wa Hizb ut Tahrir / Wilayah Uturuki

Ukurasa wa Twitter wa Hizb ut Tahrir / Wilayah Uturuki

Akaunti ya Instagram ya Hizb ut Tahrir / Wilayah Uturuki

Chaneli ya YouTube ya Hizb ut Tahrir / Wilayah Uturuki

Tovuti ya Jarida la Kokludegisim

Andika maoni

Hakikisha umejaza (*) habari zinazohitajika palipoashiriwa. Kodi za HTML haziruhusiwi.

rudi juu

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu