Jumamosi, 14 Muharram 1446 | 2024/07/20
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

بسم الله الرحمن الرحيم

Hizb ut Tahrir / Wilayah Uturuki:

Kongamano la Diyarbakir “Urithi wa Sheikh Said al-Kurdi”

Kwa mnasaba wa kumbukumbu ya miaka 99 ya kuuawa shahidi Sheikh Said Biran al-Kurdi, Hizb ut Tahrir / Wilayah Uturuki iliandaa kongamano lililopewa kichwa la “Urithi wa Sheikh Said” katika ukumbi wa mikutano wa Msikiti wa Salah al-Din al-Ayyubi mjini Diyarbakir.

Katika siku kama hizi, Waislamu wanyoofu humrehemu Mujahid Sheikh Said Biran Effendi na marafiki zake ambao waliuawa shahidi pamoja naye kwa maamuzi ya mahakama huru za kisekula mnamo 29 Juni 1925.

Hotuba za kongamano hilo zilihusu mapinduzi ya Sheikh Said al-Kurdi na marafiki zake dhidi ya Mustafa Kamal, ambaye alinyakua mamlaka ya Umma wa Kiislamu na kukomesha ubwana wa Sharia sahihi kwa kukomesha mfumo wa Khilafah na badala yake kuweka mfumo wa kisekula ( usio na dini) wa kikafiri, iliobidi apigwe vita kwa upanga ili kurudisha bwana kwenye Sharia na mamlaka kwa umma, kwa hivyo yeye na marafiki zake walipata kifo cha kishahidi, tunawadhania hivyo ila hatumtakasi yeyote kwa Mwenyezi Mungu.

Jumamosi, 23 Dhu al-Hijjah 1445 H sawia na 29 Juni 2024 M

Kwa Maelezo zaidi, Tafadhali Zuru Mitandao ya Hizb ut Tahrir / Wilayah Uturuki:

Tovuti Rasmi: Hizb ut Tahrir / Wilayah Uturuki

Facebook: Hizb ut Tahrir / Wilayah Uturuki

Twitter: Hizb ut Tahrir / Wilayah Uturuki

Instagram: Hizb ut Tahrir / Wilayah Uturuki

YouTube: Hizb ut Tahrir / Wilayah Uturuki

Jarida la Koklu Degisim

Andika maoni

Hakikisha umejaza (*) habari zinazohitajika palipoashiriwa. Kodi za HTML haziruhusiwi.

rudi juu

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu