Kwa Wanazuoni Waliokusanyika jijini Sana’a
- Imepeperushwa katika Yemen
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Kongamano moja lilifanyika jijini Sana'a tarehe 28/10/2021, lililoandaliwa na Jumuiya ya Wanazuoni wa Yemen na Mamlaka Kuu ya Wakfu chini ya kichwa "Umoja wa Kiislamu... Fursa na Changamoto".