Riba ni Riba, Sawa Iwe ni Ndani ya Dar ul-Islam au Dar ul-Kufr.
- Imepeperushwa katika Maswali ya Kimfumo
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Assalamu Alaikum wa Rahamtullahi wa Barakaatuh.
Je, benki za Kiislamu hufanya kazi kulingana na sheria za Kiislamu mjini Tulkarm, na mikoa ya Ukingoni wa Magharibi?
Mwenyezi Mungu akubariki Ewe Shekh na akufungulie, nina swali tafadhali: Je, Hizb ut Tahrir huzingatiwa kuwa ni Ash'ariya katika maudhui ya Aqeeda ama Hizb ina ufahamu wake maalum katika maudhui ya Aqida? Shukran
Assalamu alaikum wa rahmatullahi wa barakatuhu, sheikh wetu. Namuomba Mwenyezi Mungu Akuhifadhi na Akupe afya njema kwa ajili ya hii daawa na dini na Akupe maisha marefu katika ibadah Yake na Akujaalie uishuhudie Khilafah ya pili iliyoongoka.
Assalam Alaikum Ewe Amiri wetu, vipi hali yako? Wakati dola ya Kiislamu itakaposimamishwa, Hizb ut Tahrir itaenda kwenye marhala (hatua) gani?
"Kamati ya utetezi wa wafungwa katika kesi ya kile kinachojulikana kama "uchochezi" nchini Jordan ilielezea kutoridhika kwake na kile ilichoelezea kama hatua ya mamlaka "kuwanyimwa" haki za kimsingi ... na kuwataka waruhusiwe kukutana nao wajue uchunguzi unaofanywa nao."
Assalamu Alaikum Sheikh wetu mheshimiwa: kuna tofauti gani kati ya rai iliyotangulia na maalumati yaliyotangulia katika njia ya kufikiri.
Sheikh wetu mkubwa, nina swali juu ya rai za kifiqhi za maimamu wanne na mujtahidi wengine ambao wanatofautiana na sisi kuhusu rai za kifiqhi zilizo tabanniwa katika Hizb, na ambazo zinaingia katika ile inayoitwa fiqhi ya ikhtilaf