Swali kuhusu Visomo vya Mutawaatir vya Qur`an Tukufu
- Imepeperushwa katika Maswali ya Kifiqh
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Imetajwa katika kitabu cha “Shakhsiya ya Kiislamu” Juzuu ya Kwanza, katika mlango: “Haja ya Umma leo kwa wafasiri” tulipozungumzia kuhusu Waarabu kuacha kutumia baadhi ya matamshi kwa kutosheka na visawe ama matamshi yanayokaribiana nayo, maadamu maana yaliyokusudiwa yamenyooka.