Ewe, Erdogan, Je, Uadui wa Makafiri dhidi ya Uislamu kamwe ushawahi Kuisha?!
- Imepeperushwa katika Habari na Maoni
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan alizungumza kwenye "Mkutano Mkuu wa Wapalestina", ambao ulifanyika katika Uwanja wa Ndege wa Ataturk wa Istanbul kupinga hatua za kijeshi za 'Israel' katika Ukanda wa Gaza, TRT Haber inaripoti.