Ubepari Huwatelekeza Wazee, Lakini Uislamu Huwajali
- Imepeperushwa katika Habari na Maoni
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Siku ya Ijumaa tarehe 07 Mei 2021, Raisi Samia Suluhu Hassan alihutubia wazee wa jiji la Dar es Salaam katika Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam.