Alhamisi, 17 Safar 1446 | 2024/08/22
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Hizb ut Tahrir Wilayah Pakistan Kampeni kwa Kichwa “Rudisheni Khilafah” kwa mnasaba wa Kumbukumbu ya Miaka 102 ya Kuanguka Khilafah

Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan imeandaa kampeni kwa kichwa “Rudisheni Khilafah” katika mitandao ya kijamii kwa mwezi mzima wa Rajab 1444 Hijri, kwa mnasaba wa kumbukumbu ya miaka 102 ya kuanguka dola ya Kiislamu – Khilafah – kwa wakoloni makafiri.

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan: Kwa Mara ya Tatu, Hotuba za Halaiki Zilitolewa dhidi ya Muundo wa Makubaliano katika Msikiti Mkuu Jijini Khartoum

Ndani ya wigo wa kampeni ambayo Hizb ut Tahrir/Wilayah Sudan inaifanya dhidi ya muundo wa makubaliano, leo Alhamisi tarehe 5/1/2023, hizb ilitoa hotuba za halaiki kwa mara ya tatu baada ya swala ya Adhuhuri katika Msikiti Mkuu jijini Khartoum

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan: Kwa Mara ya Pili, Hotuba za Halaiki Zilitolewa dhidi ya Mfumo wa Makubaliano katika Msikiti Mkuu wa Khartoum

Katika muendelezo wa kampeni dhidi ya Mfumo wa Makubaliano, Hizb ut Tahrir/Wilaya ya Sudan ilitoa hotuba za halaiki kwa mara ya pili leo Jumatano tarehe 4/1/2023 M, baada ya swala ya Adhuhuri katika Msikiti Mkuu wa Khartoum, zikibainisha hatari ya fikra ya uhuru iliyodhaminiwa na Mfumo wa Makubaliano hayo.

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan: Ugawanyaji kwa Mara ya Pili, wa Karatasi zenye Kupinga Mfumo wa Makubaliano!

Katika muendelezo wa kampeni inayofanywa na Hizb ut Tahrir/Wilayah ya Sudan dhidi ya mfumo wa makubaliano, hizb iligawanya karatasi kwa mara ya pili mnamo Jumanne tarehe 3/1/2023 M katika Msikiti Mkuu wa Khartoum, kuonyesha ufisadi wa kile kilichoelezwa katika makubaliano hayo, na miongoni mwa yaliyoelezwa ndani yake: Tukatae mfumo wa makubaliano hayo na tuyapinge...

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu