Hizb ut Tahrir katika Wilayah ya Lebanon Yahuisha Siku Kumi za Mwanzo za Dhul Hijjah 1443 H
- Imepeperushwa katika Lebanon
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Kama sehemu ya amali ya Hizb ut Tahrir katika Wilaya ya Lebanon ya kuhuisha siku kumi za Dhul Hijjah, hizb ilifanya mikutano ya kusherehekea Sunnah ya Mtume (saw) katika miji ya Sidon na Tripoli mnamo siku ya Alhamisi tarehe 8 Dhul Hijjah na Ijumaa 9 Dhul Hijjah.