Ijumaa, 08 Rabi' al-thani 1446 | 2024/10/11
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Kisimamo cha Al-Aqsa "Khiyana ya Watawala wa Waislamu na Uovu Wao Umewapa Ujasiri Waabudu Ng'ombe Juu ya Cheo cha Mtume wa Mwenyezi Mungu."

Hizb ut Tahrir katika Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina) iliandaa kisimamo katika nyua za Msikiti uliobarikiwa wa Al-Aqsa kwa ajili ya kumnusuru Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw) na kuyahamasisha majeshi ya Waislamu kuwang’oa watawala wasaliti na kusimamisha dola ya Khilafah Rashida ya pili kwa njia ya Utume,

Soma zaidi...

Kuongezwa Muda wa Ujumbe wa UNITAMS kwa Mwaka Mwengine Kunatokana na Usimamizi wa Dhahiri wa Nchi za Kikoloni juu ya Sudan

Mnamo Siku ya Ijumaa, tarehe 03/06/2022, Baraza la Usalama lilipitisha Azimio nambari 2636, la kuongeza muda wa Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa Kusaidia Awamu ya Mpito nchini Sudan (UNITAMS) kwa kipindi cha mwaka mmoja hadi 06/03/2023, kwa kauli moja ya wajumbe wa Baraza la Usalama.

Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu