Tangu Lini Kafiri Magharibi Huaminiwa kwa Haki za Binadamu
- Imepeperushwa katika Sudan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Makamu wa Rais wa Baraza Huru la Utawala, Mohamed Hamdan Dagalo (Hemedti), alithibitisha dhamira yao ya kushirikiana na mifumo yote ya Umoja wa Mataifa na Baraza la Haki za Binadamu, kukuuza na kuendeleza haki za binadamu nchini.