Ijumaa, 08 Rabi' al-thani 1446 | 2024/10/11
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Ulaya na Washirika wake Wanadhamini Upendeleo wa Kuwahifadhi Wazungu Ambapo Uislamu Unatekeleza Dhamana ya Kuwahifadhi Walimwengu

Uvamizi wa Urusi Ukraine ulioripuka mnamo Februari 24 ya mwaka huu umepelekea mzozo mkubwa wa wakimbizi ambapo Ulaya imeshuhudiwa ikifungua mipaka yake ya kitaifa, ikiwakaribisha zaidi ya Waukraine milioni tatu katika kipindi cha chini ya wiki mbili!

Soma zaidi...

Sera ya Kima cha Chini cha Mshahara ni ya Kinyonyaji na Hutumika kama Zana ya Kisiasa ya Kukuza Ubaguzi wa Rangi na Utabaka

Siku ya Jumapili Mei mosi 2022 rais wa Kenya Uhuru Kenyatta  alitangaza ongezeko la asilimia 12 kwa mshahara wa mfanyakazi kuanzia tarehi 1 Mei ili kuwa kwamua wafanyakazi ambao kwa sasa wanashuhudia mbano wa mfumko wa bei hasa bidhaa za vyakula na mafuta.

Soma zaidi...
Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu