Ulaya na Washirika wake Wanadhamini Upendeleo wa Kuwahifadhi Wazungu Ambapo Uislamu Unatekeleza Dhamana ya Kuwahifadhi Walimwengu
- Imepeperushwa katika Uchambuzi
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Uvamizi wa Urusi Ukraine ulioripuka mnamo Februari 24 ya mwaka huu umepelekea mzozo mkubwa wa wakimbizi ambapo Ulaya imeshuhudiwa ikifungua mipaka yake ya kitaifa, ikiwakaribisha zaidi ya Waukraine milioni tatu katika kipindi cha chini ya wiki mbili!