Dola ya Kiislamu: Suluhisho kwa Ukandamizaji wa ‘Waliowachache’
- Imepeperushwa katika Khilafah
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Katika vyuo vikuu, wanafunzi wanashajiishwa kufuata fikra za kiliberali. Wanaambiwa kuwa hiyo ndio njia pekee ya wao kuwa ni wasiopendelea upande wowote na ‘kuwakubali’ wote walio wachache.