Upigaji Marufuku na Ususiaji Inamfanya tu Mbebaji Dawah Kuwa Imara Zaidi!
- Imepeperushwa katika Uchambuzi
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Serikali ya Uingereza imepitisha marufuku iliyokuwa ikisubiriwa kwa muda mrefu dhidi ya shughuli za wabebaji wa dawah. Kitendo hiki kimetokana na kufilisika kifikra na akili ya dola iliyofeli, kwani ulimwengu unajua Khilafah iko karibu.